Zaburi 75:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+ Isaya 51:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+
8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+
17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+