Yeremia 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao lazima wanywe na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yao.”+ Yeremia 50:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.
16 Nao lazima wanywe na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yao.”+
38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.