2 Wafalme 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao; 2 Mambo ya Nyakati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaendelea kusema na Manase na watu wake, lakini hawakusikiliza.+ Methali 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+ Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+
14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao;
24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+
10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+