Isaya 65:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+ Mathayo 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini wakaenda zao bila kujali, mmoja kwenye shamba lake mwenyewe, mwingine kwenye kazi yake ya biashara;+
12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+
5 Lakini wakaenda zao bila kujali, mmoja kwenye shamba lake mwenyewe, mwingine kwenye kazi yake ya biashara;+