Luka 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini wote kwa namna moja wakaanza kutoa visingizio.+ Yule wa kwanza akamwambia, ‘Nilinunua shamba nami ninahitaji kwenda kuliona; ninakuomba, Niwie radhi.’+
18 Lakini wote kwa namna moja wakaanza kutoa visingizio.+ Yule wa kwanza akamwambia, ‘Nilinunua shamba nami ninahitaji kwenda kuliona; ninakuomba, Niwie radhi.’+