24 “Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana ama atamchukia mmoja na kumpenda yule mwingine,+ ama atashikamana na mmoja na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kutumikia Mungu na Utajiri.+
14 Nazo zile zilizoanguka katikati ya miiba, hawa ndio ambao wamesikia, lakini, kwa kuchukuliwa na mahangaiko na utajiri na raha+ za maisha haya, wao husongwa kabisa na hawatimizi chochote.+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+