Mathayo 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na yule aliyepandwa katikati ya miiba, huyo ndiye anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri hulisonga neno, naye huwa asiyezaa matunda.+ Marko 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Bado kuna wengine wanaopandwa katikati ya miiba; hawa ndio ambao wamelisikia neno,+
22 Na yule aliyepandwa katikati ya miiba, huyo ndiye anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri hulisonga neno, naye huwa asiyezaa matunda.+