Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+

  • Methali 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+

  • Isaya 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini basi, nilipoingia, hapakuwa na mtu yeyote?+ Nilipoita, hakuna aliyejibu?+ Je, kweli mkono wangu umekuwa mfupi mno kwamba hauwezi kukomboa,+ au je, ndani yangu hamna nguvu za kukomboa? Tazama! Mimi huikausha bahari+ kwa kemeo+ langu; mimi huifanya mito kuwa nyika.+ Samaki wao hunuka kwa sababu ya maji kukosekana, nao hufa kwa sababu ya kiu.+

  • Isaya 66:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mimi nami nitachagua njia za kuwatendea vibaya;+ nami nitaleta juu yao mambo yanayowatia hofu;+ kwa sababu niliita, lakini hakuna aliyejibu; nilisema, lakini hakuna aliyesikiliza;+ nao waliendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pangu, walichagua jambo ambalo sikupendezwa nalo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki