- 
	                        
            
            Yeremia 35:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        15 Nami niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii,+ nikiamka mapema na kuwatuma, na kusema, ‘Tafadhali rudini, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ nanyi fanyeni matendo yenu kuwa mema,+ wala msiifuate miungu mingine ili kuitumikia.+ Na mwendelee kukaa katika nchi ambayo nimewapa ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamkutega sikio lenu, wala hamkunisikiliza.+ 
 
-