Hesabu 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa ninalosema litatukia kwako au hapana.”+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+ Isaya 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+
23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa ninalosema litatukia kwako au hapana.”+
28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+