Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa ninalosema litatukia kwako au hapana.”+

  • Isaya 40:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+

  • Isaya 59:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki