Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 139:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ujuzi wa namna hiyo ni wa ajabu mno kwangu.+

      Ni wa juu sana hivi kwamba siwezi kuufikia.+

  • Zaburi 147:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Bwana wetu ni mkuu na mwenye nguvu nyingi;+

      Uelewaji wake hauwezi kusimuliwa.+

  • Isaya 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

  • 1 Wakorintho 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki