Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Naye ni wa kuogopwa kuliko miungu mingine yote.+

  • Zaburi 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+

      Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+

  • Zaburi 96:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova ni mkuu+ na wa kusifiwa sana.

      Ni mwenye kuogopesha kuliko miungu mingine yote.+

  • Zaburi 145:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Na ukuu wake hauchunguziki.+

  • Nahumu 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+

      Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki