1 Mambo ya Nyakati 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Naye ni wa kuogopwa kuliko miungu mingine yote.+ Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Zaburi 96:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova ni mkuu+ na wa kusifiwa sana.Ni mwenye kuogopesha kuliko miungu mingine yote.+ Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Na ukuu wake hauchunguziki.+ Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+
3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+