Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.

  • Zaburi 89:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+

      Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Zaburi 145:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Na ukuu wake hauchunguziki.+

  • Zaburi 147:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Bwana wetu ni mkuu na mwenye nguvu nyingi;+

      Uelewaji wake hauwezi kusimuliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki