Nehemia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote. Zaburi 89:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+ Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Na ukuu wake hauchunguziki.+ Zaburi 147:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana wetu ni mkuu na mwenye nguvu nyingi;+Uelewaji wake hauwezi kusimuliwa.+
5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.
89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+