Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!