Zaburi 86:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ninakusifu, Ee Yehova Mungu wangu, kwa moyo wangu wote,+Nami nitalitukuza jina lako mpaka wakati usio na kipimo, Zaburi 106:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
12 Ninakusifu, Ee Yehova Mungu wangu, kwa moyo wangu wote,+Nami nitalitukuza jina lako mpaka wakati usio na kipimo, Zaburi 106:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+