Ayubu 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+ Methali 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na sijajifunza hekima;+ nao ujuzi wa Aliye Mtakatifu Zaidi siujui.+
14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+