Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+ Methali 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, hekima haendelei kupaaza sauti,+ na utambuzi haendelei kutoa sauti yake?+