Zaburi 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+ Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Mhubiri 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+ Isaya 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+
4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+
11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+
9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+