Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Zaburi 66:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+ Zaburi 150:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msifuni kwa kazi zake zenye nguvu.+Msifuni kulingana na wingi wa ukuu wake.+ Mhubiri 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+
11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+