18 Hapana, bali endeleeni kukua katika fadhili zisizostahiliwa na ujuzi juu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+ Kwake yeye na kuwe utukufu sasa na pia mpaka siku ya umilele.+
25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+