Mwanzo 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita. Mhubiri 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+ Marko 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa kweli, walikuwa wakistaajabu+ sana nao wakasema: “Amefanya mambo yote vema. Anafanya hata viziwi wasikie na wasioweza kusema, waseme.”+ Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.
29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+
37 Kwa kweli, walikuwa wakistaajabu+ sana nao wakasema: “Amefanya mambo yote vema. Anafanya hata viziwi wasikie na wasioweza kusema, waseme.”+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+