12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+
3 kwa maana nguvu zake za kimungu zimetupa sisi bila malipo mambo yote yanayohusu uzima+ na ujitoaji-kimungu,+ kupitia ujuzi sahihi juu ya yeye ambaye alituita+ kupitia utukufu+ na wema wa adili.