2 Wakorintho 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+ 2 Wathesalonike 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa lengo hili aliwaita ninyi kupitia habari njema tunayoitangaza,+ kwa kusudi la kujipatia utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.+
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+
14 Kwa lengo hili aliwaita ninyi kupitia habari njema tunayoitangaza,+ kwa kusudi la kujipatia utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.+