Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+

  • Ayubu 38:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ulikuwa wapi nilipoweka msingi wa dunia?+

      Niambie, ikiwa unaelewa.

  • Zaburi 89:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mbingu ni yako,+ dunia pia ni yako;+

      Nchi yenye kuzaa na vinavyoijaza+​—wewe mwenyewe umeviwekea msingi.+

  • Isaya 40:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+

  • Yeremia 51:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa+ kwa hekima yake,+ na Yeye ambaye kwa uelewaji+ wake alizitandaza mbingu.+

  • Matendo 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kusema: “Wanaume, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi pia ni wanadamu+ tulio na udhaifu+ uleule kama ninyi, nasi tunawatangazia ninyi habari njema, ili mgeuke kutoka kwa mambo haya ya bure+ mpate kumjia Mungu aliye hai,+ aliyefanya mbingu+ na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo.

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki