Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+ Zaburi 50:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ningalikuwa na njaa, singalikuambia;Kwa maana nchi yenye kuzaa+ na vyote vinavyoijaza ni vyangu.+