Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+ Kumbukumbu la Torati 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama, mbingu, naam, mbingu za mbingu,+ dunia+ na vyote vilivyomo, ni mali ya Yehova. Ayubu 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani ambaye amenipa kitu kwanza, ndipo nilazimike kumpa thawabu?+Vitu vyote ni vyangu chini ya mbingu zote.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ 1 Wakorintho 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 kwa maana “dunia na vyote vinavyoijaza+ ni vya Yehova.”+
5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
11 Ni nani ambaye amenipa kitu kwanza, ndipo nilazimike kumpa thawabu?+Vitu vyote ni vyangu chini ya mbingu zote.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+