Zaburi 119:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe mwenyewe umetoa maagizo yako kwa kuamuru+Yashikwe kwa uangalifu.+ Methali 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye anayeishika amri anailinda nafsi yake;+ anayedharau njia zake atauawa.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+