29 Laiti wangaliusitawisha moyo wao huu uniogope+ na kushika amri zangu zote sikuzote,+ ili mambo yawaendee vema, wao na wana wao mpaka wakati usio na kipimo!+
28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+