Kumbukumbu la Torati 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama, mbingu, naam, mbingu za mbingu,+ dunia+ na vyote vilivyomo, ni mali ya Yehova. 1 Wakorintho 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 kwa maana “dunia na vyote vinavyoijaza+ ni vya Yehova.”+