Mwanzo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+ Nehemia 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe. Zaburi 104:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ameiwekea dunia msingi juu ya mahali pake palipofanywa imara;+Haitatikiswa mpaka wakati usio na kipimo, au milele.+ Zaburi 136:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yule anayeitandaza dunia juu ya maji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+ Waebrania 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na: “Wewe pale mwanzoni, Ee Bwana, uliiweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi za mikono yako.+
6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe.
5 Ameiwekea dunia msingi juu ya mahali pake palipofanywa imara;+Haitatikiswa mpaka wakati usio na kipimo, au milele.+
6 Yule anayeitandaza dunia juu ya maji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
10 Na: “Wewe pale mwanzoni, Ee Bwana, uliiweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi za mikono yako.+