Zaburi 93:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+ Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+ Mhubiri 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi kinaenda,+ kizazi kinakuja;+ lakini dunia inasimama mpaka wakati usio na kipimo.+
93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+
10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+