Zaburi 68:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mhesabieni Mungu nguvu.+Adhama yake iko juu ya Israeli na nguvu zake ziko mawinguni.+ Zaburi 104:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+Umevaa utukufu na fahari,+ Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+
104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+Umevaa utukufu na fahari,+ Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+
10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+