Zaburi 78:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Pia wakaendelea kugeuka na kutenda kwa hila kama mababu zao;+Waligeuka huku na huku kama upinde uliolegea.+ Yeremia 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Nami mwishowe nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda, ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mkaingia na kuitia unajisi nchi yangu; nanyi mkaufanya urithi wangu kuwa chukizo.+
57 Pia wakaendelea kugeuka na kutenda kwa hila kama mababu zao;+Waligeuka huku na huku kama upinde uliolegea.+
7 “Nami mwishowe nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda, ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mkaingia na kuitia unajisi nchi yangu; nanyi mkaufanya urithi wangu kuwa chukizo.+