Yeremia 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+
7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+