Mambo ya Walawi 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Msijichafue kwa kufanya jambo lolote kati ya mambo hayo, kwa maana mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejichafua kwa mambo hayo yote.+ Hesabu 35:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+ Zaburi 78:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu. Yeremia 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+
24 “‘Msijichafue kwa kufanya jambo lolote kati ya mambo hayo, kwa maana mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejichafua kwa mambo hayo yote.+
33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+
58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+
38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.
18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+