11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,
25 Nao wakaanza kuteka majiji yenye ngome+ na udongo mnono+ na kumiliki nyumba zilizojaa vitu vyote vyema,+ matangi yaliyochimbwa chini,+ mashamba ya mizabibu na ya mizeituni+ na miti ya vyakula kwa wingi, nao wakaanza kula na kushiba+ na kunenepa+ na kufanikiwa katika wema wako mkubwa.+