Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 8:1

Marejeo

  • +Kum 5:32; Zb 119:4; 1Th 4:1
  • +Met 3:2
  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 8:2

Marejeo

  • +Kum 2:7; 29:5; Amo 2:10
  • +Zb 101:5; Lu 18:14; 1Pe 5:6
  • +Kut 16:4; 20:20
  • +Kum 13:3; Zb 139:23; Met 17:3

Kumbukumbu la Torati 8:3

Marejeo

  • +Kut 16:3
  • +Kut 16:31; Zb 78:24
  • +Mt 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2004, kur. 13-14

    8/15/1999, uku. 26

    5/1/1994, uku. 3

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 2/1 13-14; w99 8/15 26

Kumbukumbu la Torati 8:4

Marejeo

  • +Kum 29:5; Ne 9:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2004, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 26

Kumbukumbu la Torati 8:5

Marejeo

  • +2Sa 7:14; Met 3:12; 1Ko 11:32; Ebr 12:6; Ufu 3:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1994, uku. 3

Kumbukumbu la Torati 8:6

Marejeo

  • +Kum 5:33; 2Nya 6:31; Zb 128:1; Lu 1:6
  • +1Sa 12:24

Kumbukumbu la Torati 8:7

Marejeo

  • +Kut 3:8; Law 26:4; Kum 11:12; Ne 9:25
  • +Kum 11:11

Kumbukumbu la Torati 8:8

Marejeo

  • +Hes 13:23
  • +Eze 20:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2011, kur. 11-13

    6/15/2006, kur. 16-17

    5/15/2000, kur. 25, 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/1 11-13; w06 6/15 16-17; w00 5/15 25, 27

Kumbukumbu la Torati 8:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2013, kur. 12-13

Kumbukumbu la Torati 8:10

Marejeo

  • +Kum 6:11
  • +Zb 103:2; 134:1
  • +1Nya 29:14

Kumbukumbu la Torati 8:11

Marejeo

  • +Zb 106:21
  • +Kum 6:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2006, uku. 28

    Shule ya Huduma, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/1 28; be 20

Kumbukumbu la Torati 8:12

Marejeo

  • +Kum 32:15; Yer 22:14; Ho. 13:6

Kumbukumbu la Torati 8:14

Marejeo

  • +Kum 9:4; 1Ko 4:7
  • +Zb 106:21

Kumbukumbu la Torati 8:15

Marejeo

  • +Kum 1:19; Yer 2:6
  • +Hes 21:6
  • +Hes 20:11; Zb 78:15; 105:41; 114:8; 1Ko 10:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1992, uku. 24

Kumbukumbu la Torati 8:16

Marejeo

  • +Kut 16:35; Yoh 6:31, 49
  • +Kum 8:2
  • +2Ko 4:17; Ebr 12:11; 1Pe 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1999, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 8/15 25

Kumbukumbu la Torati 8:17

Marejeo

  • +Ho. 12:8; Hab 1:16; 1Ko 4:7

Kumbukumbu la Torati 8:18

Marejeo

  • +Zb 127:1; Met 10:22; Ho. 2:8
  • +Kum 7:12

Kumbukumbu la Torati 8:19

Marejeo

  • +Kum 4:26; 30:18; Yos 23:13; 1Sa 12:25

Kumbukumbu la Torati 8:20

Marejeo

  • +Da 9:11, 12; Amo 3:2

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 8:1Kum 5:32; Zb 119:4; 1Th 4:1
Kum. 8:1Met 3:2
Kum. 8:1Mwa 15:18
Kum. 8:2Kum 2:7; 29:5; Amo 2:10
Kum. 8:2Zb 101:5; Lu 18:14; 1Pe 5:6
Kum. 8:2Kut 16:4; 20:20
Kum. 8:2Kum 13:3; Zb 139:23; Met 17:3
Kum. 8:3Kut 16:3
Kum. 8:3Kut 16:31; Zb 78:24
Kum. 8:3Mt 4:4
Kum. 8:4Kum 29:5; Ne 9:21
Kum. 8:52Sa 7:14; Met 3:12; 1Ko 11:32; Ebr 12:6; Ufu 3:19
Kum. 8:6Kum 5:33; 2Nya 6:31; Zb 128:1; Lu 1:6
Kum. 8:61Sa 12:24
Kum. 8:7Kut 3:8; Law 26:4; Kum 11:12; Ne 9:25
Kum. 8:7Kum 11:11
Kum. 8:8Hes 13:23
Kum. 8:8Eze 20:6
Kum. 8:10Kum 6:11
Kum. 8:10Zb 103:2; 134:1
Kum. 8:101Nya 29:14
Kum. 8:11Zb 106:21
Kum. 8:11Kum 6:12
Kum. 8:12Kum 32:15; Yer 22:14; Ho. 13:6
Kum. 8:14Kum 9:4; 1Ko 4:7
Kum. 8:14Zb 106:21
Kum. 8:15Kum 1:19; Yer 2:6
Kum. 8:15Hes 21:6
Kum. 8:15Hes 20:11; Zb 78:15; 105:41; 114:8; 1Ko 10:4
Kum. 8:16Kut 16:35; Yoh 6:31, 49
Kum. 8:16Kum 8:2
Kum. 8:162Ko 4:17; Ebr 12:11; 1Pe 1:7
Kum. 8:17Ho. 12:8; Hab 1:16; 1Ko 4:7
Kum. 8:18Zb 127:1; Met 10:22; Ho. 2:8
Kum. 8:18Kum 7:12
Kum. 8:19Kum 4:26; 30:18; Yos 23:13; 1Sa 12:25
Kum. 8:20Da 9:11, 12; Amo 3:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 8:1-20

Kumbukumbu la Torati

8 “Kila amri ninayokuamuru leo muwe waangalifu kuishika,+ ili mpate kuendelea kuishi+ na kuongezeka, mwingie na kuimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu.+ 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana. 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+ 4 Nguo yako ya kujitanda haikuchakaa, wala mguu wako haukuvimba miaka hii 40.+ 5 Nawe unajua vema kwa moyo wako mwenyewe kwamba kama vile mtu anavyomrekebisha mwana wake, ndivyo Yehova Mungu wako alikuwa akikurekebisha.+

6 “Nawe ushike amri za Yehova Mungu wako kwa kutembea katika njia zake+ na kwa kumwogopa.+ 7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima, 8 nchi ya ngano na shayiri na mizabibu na tini na makomamanga,+ nchi ya mizeituni ya mafuta na asali,+ 9 nchi ambamo hutakula mkate kwa uhaba, ambamo hutakosa chochote, nchi ambayo mawe yake ni chuma na ambayo kutoka katika milima yake utachimba shaba.

10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+ 11 Jiangalie usije ukamsahau+ Yehova Mungu wako kwa kutozishika amri zake na maamuzi yake ya hukumu na sheria zake ambazo ninakuamuru leo;+ 12 usije ukala na kushiba kwelikweli, ukajenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake,+ 13 na mifugo yako na kundi lako likaongezeka, na fedha na dhahabu zikakuongezekea, na vyote vilivyo vyako vikaongezeka; 14 nao moyo wako uinuke juu,+ na umsahau Yehova Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa;+ 15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+ 16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+ 17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+ 18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+

19 “Na itatukia kwamba ikiwa utamsahau Yehova Mungu wako hata kidogo nawe ufuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, nashuhudia juu yenu leo kwamba ninyi mtaangamia kabisa.+ 20 Kama yale mataifa ambayo Yehova anaangamiza kutoka mbele yenu, hivyo ndivyo mtakavyoangamia, kwa sababu ninyi hamtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki