Zaburi 127:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+ Hosea 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini yeye mwenyewe hakutambua+ kwamba mimi ndiye niliyempa nafaka+ na divai tamu na mafuta, na kwamba nilimfanya awe na fedha nyingi, na dhahabu, ambayo waliitumia kwa Baali.+
127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+
8 Lakini yeye mwenyewe hakutambua+ kwamba mimi ndiye niliyempa nafaka+ na divai tamu na mafuta, na kwamba nilimfanya awe na fedha nyingi, na dhahabu, ambayo waliitumia kwa Baali.+