Waamuzi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+ Zaburi 121:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda.+Yehova ni kivuli chako+ kwenye mkono wako wa kuume.+ Isaya 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi, Yehova, ninamlinda yeye.+ Nitamnywesha maji kila wakati.+ Ili yeyote asielekeze fikira zake kupigana naye, nitamlinda usiku na mchana.+ Zekaria 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+
8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+
3 Mimi, Yehova, ninamlinda yeye.+ Nitamnywesha maji kila wakati.+ Ili yeyote asielekeze fikira zake kupigana naye, nitamlinda usiku na mchana.+
5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+