Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 73:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini niko pamoja nawe daima;+Umeushika mkono wangu wa kuume.+ Zaburi 109:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana yeye atasimama kwenye mkono wa kuume wa maskini,+Ili amwokoe kutoka kwa wale wanaoihukumu nafsi yake.
31 Kwa maana yeye atasimama kwenye mkono wa kuume wa maskini,+Ili amwokoe kutoka kwa wale wanaoihukumu nafsi yake.