Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Elisha akaanza kusali+ na kusema: “Ee Yehova, tafadhali fungua macho yake,+ ili aone.” Mara moja Yehova akafungua macho ya yule mtumishi, hivi kwamba akaona; na, tazama! lile eneo lenye milima lilikuwa limejaa farasi na magari ya vita+ ya moto kumzunguka Elisha pande zote.+

  • Zaburi 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela.

  • Zaburi 125:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+

      Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+

      Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Katika siku hiyo+ wimbo huu utaimbwa+ katika nchi ya Yuda:+ “Tuna jiji lenye nguvu.+ Yeye anaweka wokovu kuwa kuta na boma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki