Isaya 60:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, uporaji na mvunjiko ndani ya mipaka yako.+ Na hakika wewe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa. Zekaria 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+
18 “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, uporaji na mvunjiko ndani ya mipaka yako.+ Na hakika wewe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.
5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+