Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye hakika atafanya hukumu kati ya mataifa+ na kunyoosha mambo+ kuhusu vikundi vingi vya watu.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+

  • Isaya 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+

  • Isaya 54:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Utafanywa imara katika uadilifu.+ Utakuwa mbali sana na ukandamizaji+—kwa maana hutaogopa yeyote—na jambo lolote lenye kutia hofu, kwa maana halitakuja karibu nawe.+

  • Zekaria 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitapiga kambi kama mlinzi wa mbele kwa ajili ya nyumba yangu,+ ili kusiwe na mtu yeyote anayepita kati wala anayerudi; wala msimamizi wa kazi+ hatapita tena kwao, kwa maana sasa nimeyaona kwa macho yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki