Kutoka 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+ 2 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+
7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+