Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi Lea akapata mimba, akazaa mwana na kisha akamwita jina lake Rubeni,+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ametazama taabu yangu,+ kwa kuwa sasa mume wangu ataanza kunipenda.”

  • Kutoka 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Mungu akawatazama wana wa Israeli naye Mungu akaona.

  • Kutoka 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+

  • Zaburi 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Uone mateso yangu na taabu yangu,+

      Na unisamehe dhambi zangu zote.+

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki