Mwanzo 29:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo Lea akapata mimba na kuzaa mwana, akampa jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameyaona mateso yangu,+ kwa maana sasa mume wangu ataanza kunipenda.” Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:32 w07 10/1 9 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:32 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 9
32 Kwa hiyo Lea akapata mimba na kuzaa mwana, akampa jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameyaona mateso yangu,+ kwa maana sasa mume wangu ataanza kunipenda.”