20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+
5 lakini akampa Hana sehemu ya pekee, kwa sababu alimpenda sana Hana; lakini Yehova hakuwa amempa watoto.*6 Isitoshe, mke mwenzake alimdhihaki daima ili kumkasirisha kwa sababu Yehova hakuwa amempa watoto.
24 Baada ya siku chache Elisabeti mke wake akapata mimba, naye hakutoka nyumbani kwa miezi mitano. Alikuwa akisema: 25 “Yehova* amenitendea hivi katika siku hizi. Amenikumbuka ili kuniondolea aibu kati ya watu.”+