Mwanzo 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa Zabuloni+ walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli.+ Mwanzo 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+ Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,Nawe, Isakari, katika mahema yako.+
13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+
18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,Nawe, Isakari, katika mahema yako.+