18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+
“Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,
Nawe, Isakari, katika mahema yako.+
19 Watayaita mataifa mlimani.
Huko watatoa dhabihu za uadilifu.
Kwa maana watafyonza utajiri mwingi wa bahari
Na marundo yaliyofichika mchangani.”