Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni. Mwanzo 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33. Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Watoto* ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.
15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33.